TANDABUI STUDENTS ORGANISATION (TASO) KUTEMBELEA WATOTO WANAOISHI KWENYE MAZINGIRA MAGUMU

TANDABUI STUDENTS ORGANISATION (TASO) KUTEMBELEA WATOTO WANAOISHI KWENYE MAZINGIRA MAGUMU

SERIKALI YA TASO kwa ushirikiano na wanafunzi pamoja na UONGOZI WA CHUO, tarehe 24/12/2022 imefanikiwa kuwatembelea WATOTO wanaoishi kwenye MAZINGIRA MAGUMU na YATIMA wanaolelewa na kituo cha watoto kiitwacho CHRIST’S HOPE INTERNATIONAL kilichopo BUGARIKA CENTER MWANZA.